الإمام ناصر محمد اليماني
12 - 10 - 1432 ه
11 - 09 - 2011 م
04:26 صباحاً
https://mail.mahdialumma.xyz/showthread.php?p=21610
ما قولك يا إمام الهدى، هل على مال الدَّيْنِ زكاة ؟
Nini Kauli Yako Ewe Imamu Wa Uongofu, Je Katika Mali Ya Deni Ina Zaka?
Bismillah Al'Rahman Al'Rahim, Na Sala Na Salam Ju Ya Babu Yangu Muhammad Na Familia Yake Walio Twahirika Na Wote Waislamu Mpaka Siku Ya Dini.
Na Haki Nasema:
Hakika mali ambao inakusanywa ili kulipa deni basi haina zaka ndani yake kitu, Kwakua nayo sio ya mwenyewe ispokua ni haki ya watu wengine, Ni haki yao ju yake katika dhima yake lazima yatakiwa alipe.
Na Salam Ju Ya Mitume, Wa Alhamdulillah Rabilalamin.
Ndugu Yenu Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.